iqna

IQNA

rais maduro
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amewakosoa vikali watawala wan chi za Ulaya kutokana na ukimya wao kuhusu vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu nchini Uswidi na Denmark.
Habari ID: 3477392    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/07

TEHRAN (IQNA)- Rais Nicholas Maduro wa Venezuela amesema jamii ya kimataifa inapaswa kulaani vikali mauaji ya kigaidi ya mwaka 2020 ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani wa Iran ambaye alikuwa mstari wa mbele katika vita dhidi ya ugaidi.
Habari ID: 3474738    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/29